Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma “Yaa Siyn” baada ya kumzika maiti?
Jibu: Kusoma “Yaa Siyn” kwenye makaburi ni Bid´ah na halina asli. Sio Sunnah kusoma Qur-aan baada ya kuzika. Ni Bid´ah. Pindi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anamaliza kuzika anasimama karibu na kaburi na kusema:
“Muombeeni msamaha ndugu yenu na mumtakie uthabiti. Hakika hivi sasa ataulizwa.”[1]
Hakuna dalili yoyote ya kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisoma Qur-aan kwenye makaburi wala hakuliamrisha.
[1] Abu Daawuud (3221).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/222)
- Imechapishwa: 02/09/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma “Yaa Siyn” baada ya kumzika maiti?
Jibu: Kusoma “Yaa Siyn” kwenye makaburi ni Bid´ah na halina asli. Sio Sunnah kusoma Qur-aan baada ya kuzika. Ni Bid´ah. Pindi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anamaliza kuzika anasimama karibu na kaburi na kusema:
“Muombeeni msamaha ndugu yenu na mumtakie uthabiti. Hakika hivi sasa ataulizwa.”[1]
Hakuna dalili yoyote ya kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisoma Qur-aan kwenye makaburi wala hakuliamrisha.
[1] Abu Daawuud (3221).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/222)
Imechapishwa: 02/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kusoma-yaa-siyn-baada-ya-kuzika/