Swali: Katika baadhi ya makaburi kuna misahafu kwa yule anayetaka kumsomea maiti. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Naonelea kuwa kitendo hichi ni Bid´ah na kwamba ni wajibu misahafu hii itolewe makaburini na ipelekwe misikitini ili waislamu waweze kunufaika nayo na waisome.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/229)
- Imechapishwa: 02/09/2021
Swali: Katika baadhi ya makaburi kuna misahafu kwa yule anayetaka kumsomea maiti. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Naonelea kuwa kitendo hichi ni Bid´ah na kwamba ni wajibu misahafu hii itolewe makaburini na ipelekwe misikitini ili waislamu waweze kunufaika nayo na waisome.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/229)
Imechapishwa: 02/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kupelekea-misahafu-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)