Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa ya pamoja ambapo mmoja anaomba du´aa na wengine wanaitikia “Aamiyn”?
Jibu: Hii sio Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala ya makhaliyfah wake waongofu (Radhiya Allaahu ´anhum). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiwaambia wamtakie msamaha na uthabiti yule maiti. Kila mmoja anatakiwa kufanya hivo kivyake na isiwe kwa pamoja.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/228-229)
- Imechapishwa: 02/09/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa ya pamoja ambapo mmoja anaomba du´aa na wengine wanaitikia “Aamiyn”?
Jibu: Hii sio Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala ya makhaliyfah wake waongofu (Radhiya Allaahu ´anhum). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiwaambia wamtakie msamaha na uthabiti yule maiti. Kila mmoja anatakiwa kufanya hivo kivyake na isiwe kwa pamoja.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/228-229)
Imechapishwa: 02/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kumuombea-maiti-duaa-ya-pamoja-baada-ya-kuzika/