Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa ya pamoja ambapo mmoja anaomba du´aa na wengine wanaitikia “Aamiyn”?
Jibu: Hii sio Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala ya makhaliyfah wake waongofu (Radhiya Allaahu ´anhum). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiwaambia wamtakie msamaha na uthabiti yule maiti. Kila mmoja anatakiwa kufanya hivo kivyake na isiwe kwa pamoja.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/228-229)
- Imechapishwa: 02/09/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket