Swali: Ni ipi hukumu ya kuchelewesha kumzika maiti kwa ajili ya kuhudhuria ndugu kutoka miji mbalimbali?
Jibu: Hakuna neno ikiwa sio wakati mrefu. Ama ikiwa jambo hilo linapelekea katika kuchelewesha sana, haitakikani maiti ya muumini kubakizwa juu ya migongo ya famili yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191634
- Imechapishwa: 27/03/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuchelewesha kumzika maiti kwa ajili ya kuhudhuria ndugu kutoka miji mbalimbali?
Jibu: Hakuna neno ikiwa sio wakati mrefu. Ama ikiwa jambo hilo linapelekea katika kuchelewesha sana, haitakikani maiti ya muumini kubakizwa juu ya migongo ya famili yake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191634
Imechapishwa: 27/03/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kumchelewesha-maiti-mpaka-ndugu-zake-wafike-ii/