Swali: Ni ipi hukumu ya kukojoa hali ya kusimama?
Jibu: Kukojoa hali ya kusimama kunajuzu kwa sharti mbili:
1- Kuaminike cheche za mkojo zisimrukie.
2- Kuaminike asiwepo yeyote atakayeona sehemu zake zisizotakiwa kuonekana.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/109)
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kukojoa hali ya kusimama?
Jibu: Kukojoa hali ya kusimama kunajuzu kwa sharti mbili:
1- Kuaminike cheche za mkojo zisimrukie.
2- Kuaminike asiwepo yeyote atakayeona sehemu zake zisizotakiwa kuonekana.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/109)
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kukojoa-kwa-kusimama/