Swali: Je, ni lazima kukiswalia na kukitolea swadaqah kipomoko kikipitikiwa na miezi miwili au chini ya hapo?
Jibu: Itategemea. Ikiwa kipomoko hiki kimechapitisha siku arobaini na kimeshapuliziwa roho, hiki kikiporomoka basi kinaoshwa, kinaswaliwa, kinapewa jina na kufanyiwa ´Aqiyqah. Kufanya hivo ndio bora. Hivo ndivo wanavosema wanachuoni. Lakini ikiwa ni kabla ya mambo hayo hakioshwi wala hakiswaliwi mpaka pale kitakapoumbwa na kupuliziwa roho. Kukiporomoka kinyama au damu basi haizingatiwi ni chochote na wala hakitooshwa wala kuswaliwa. Kuoshwa, kikaswaliwa na kupewa jina pale ambapo kitaporomoka baada ya miezi arobaini na tayari kimeshapuliziwa roho.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4556/%D9%85%D8%A7-%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B5%D9%84%D8%A7%D8%A9-%D8%B9%D9%84%D9%89-%D8%A7%D9%84%D8%AC%D9%86%D9%8A%D9%86-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%82%D8%B7
- Imechapishwa: 14/11/2020
Swali: Je, ni lazima kukiswalia na kukitolea swadaqah kipomoko kikipitikiwa na miezi miwili au chini ya hapo?
Jibu: Itategemea. Ikiwa kipomoko hiki kimechapitisha siku arobaini na kimeshapuliziwa roho, hiki kikiporomoka basi kinaoshwa, kinaswaliwa, kinapewa jina na kufanyiwa ´Aqiyqah. Kufanya hivo ndio bora. Hivo ndivo wanavosema wanachuoni. Lakini ikiwa ni kabla ya mambo hayo hakioshwi wala hakiswaliwi mpaka pale kitakapoumbwa na kupuliziwa roho. Kukiporomoka kinyama au damu basi haizingatiwi ni chochote na wala hakitooshwa wala kuswaliwa. Kuoshwa, kikaswaliwa na kupewa jina pale ambapo kitaporomoka baada ya miezi arobaini na tayari kimeshapuliziwa roho.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4556/%D9%85%D8%A7-%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B5%D9%84%D8%A7%D8%A9-%D8%B9%D9%84%D9%89-%D8%A7%D9%84%D8%AC%D9%86%D9%8A%D9%86-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%82%D8%B7
Imechapishwa: 14/11/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kukiswalia-kipomoko-kilichodondoka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)