Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyefunga siku ya ´iyd pamoja na kuwa anajua kuwa ni siku ya ´iyd?
Jibu: Haijuzu kufunga siku ya ´iyd kutokana na Hadiyth Swahiyh zilizothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) zinazokataza kufunga siku ya ´Iyd-ul-Fitwr na ´Iyd-ul-Adhwhaa. Wanachuoni wameafikiana juu ya uharamu wa hilo. Ni wajibu kwa yule aliyefanya hivo kutubia kwa Allaah (Subhaanah) na asirudi tena kufanya hivo.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/214)
- Imechapishwa: 09/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyefunga siku ya ´iyd pamoja na kuwa anajua kuwa ni siku ya ´iyd?
Jibu: Haijuzu kufunga siku ya ´iyd kutokana na Hadiyth Swahiyh zilizothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) zinazokataza kufunga siku ya ´Iyd-ul-Fitwr na ´Iyd-ul-Adhwhaa. Wanachuoni wameafikiana juu ya uharamu wa hilo. Ni wajibu kwa yule aliyefanya hivo kutubia kwa Allaah (Subhaanah) na asirudi tena kufanya hivo.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/214)
Imechapishwa: 09/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kufunga-siku-ya-idi/