Swali: Inajuzu kutamka Basmalah chooni wakati wa kutawadha?
Jibu: Ikiwa ni mahali pa kukidhia haja, hapana. Ama ikiwa sio mahali pa kukidhia haja, bali ni mahali pa kutawadhia tu, ni sawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Inajuzu kutamka Basmalah chooni wakati wa kutawadha?
Jibu: Ikiwa ni mahali pa kukidhia haja, hapana. Ama ikiwa sio mahali pa kukidhia haja, bali ni mahali pa kutawadhia tu, ni sawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuanza-jina-la-allaah-wakati-wa-kutawadha-chooni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)