Swali: Inajuzu kuswali katika safu ambayo haikuungana? Ni ipi hukumu nikiswali katika safu ambayo imekatika?
Jibu: Inajuzu kuswali katika safu iliokatika. Lakini lililo bora ni kuunganisha safu. Ukiswali katika safu na hukukamilisha safu ya kabla yake ni sahihi lakini hata hivyo umeenda kinyume na Sunnah. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kukamilisha kwanza zile safu za mwanzo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 25/10/2018
Swali: Inajuzu kuswali katika safu ambayo haikuungana? Ni ipi hukumu nikiswali katika safu ambayo imekatika?
Jibu: Inajuzu kuswali katika safu iliokatika. Lakini lililo bora ni kuunganisha safu. Ukiswali katika safu na hukukamilisha safu ya kabla yake ni sahihi lakini hata hivyo umeenda kinyume na Sunnah. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kukamilisha kwanza zile safu za mwanzo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 25/10/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-nikiswali-katika-safu-ambayo-imekatika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)