Swali: Inajuzu kuswali katika safu ambayo haikuungana? Ni ipi hukumu nikiswali katika safu ambayo imekatika?
Jibu: Inajuzu kuswali katika safu iliokatika. Lakini lililo bora ni kuunganisha safu. Ukiswali katika safu na hukukamilisha safu ya kabla yake ni sahihi lakini hata hivyo umeenda kinyume na Sunnah. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kukamilisha kwanza zile safu za mwanzo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 25/10/2018
Swali: Inajuzu kuswali katika safu ambayo haikuungana? Ni ipi hukumu nikiswali katika safu ambayo imekatika?
Jibu: Inajuzu kuswali katika safu iliokatika. Lakini lililo bora ni kuunganisha safu. Ukiswali katika safu na hukukamilisha safu ya kabla yake ni sahihi lakini hata hivyo umeenda kinyume na Sunnah. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kukamilisha kwanza zile safu za mwanzo.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 25/10/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-nikiswali-katika-safu-ambayo-imekatika/