Swali: Kuna mtu anayevaa nguo inayovuka vifundo vya miguu lakini hafanyi hivo kwa majivuno na kiburi. Je, anapata dhambi?
Jibu: Ndio, unapata dhambi ikiwa nguo au suruwali yako inashuka chini ya kongo mbili za miguu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kile kikoi kilicho chini ya mafundo mawili ya miguu kiko ndani ya Moto.”[1]
Hakufungamanishia kitendo hicho na kiburi.
[1] al-Bukhaariy (5787).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/306)
- Imechapishwa: 10/05/2026
Swali: Kuna mtu anayevaa nguo inayovuka vifundo vya miguu lakini hafanyi hivo kwa majivuno na kiburi. Je, anapata dhambi?
Jibu: Ndio, unapata dhambi ikiwa nguo au suruwali yako inashuka chini ya kongo mbili za miguu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kile kikoi kilicho chini ya mafundo mawili ya miguu kiko ndani ya Moto.”[1]
Hakufungamanishia kitendo hicho na kiburi.
[1] al-Bukhaariy (5787).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/306)
Imechapishwa: 10/05/2026
https://firqatunnajia.com/nguo-chini-ya-macho-ya-miguu-bila-ya-majivuno-na-kiburi/