Swali: Ni ipi hukumu ya kumuitikia mwenye kukimu?
Jibu: Ni kweli kwamba ipo Hadiyth ambayo ameipokea Abu Daawuud juu ya jambo hilo, lakini hata hivyo ni dhaifu na haijengewi hoja. Maoni yenye nguvu ni kwamba haitikiwi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/201)
- Imechapishwa: 10/05/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya kumuitikia mwenye kukimu?
Jibu: Ni kweli kwamba ipo Hadiyth ambayo ameipokea Abu Daawuud juu ya jambo hilo, lakini hata hivyo ni dhaifu na haijengewi hoja. Maoni yenye nguvu ni kwamba haitikiwi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/201)
Imechapishwa: 10/05/2026
https://firqatunnajia.com/kumuitikia-mwenye-kukimu-swalah/