Swali: Mtu anatakiwa kuanza kuwalingania wale watu wa karibu zaidi naye kisha wanaofuatia?
Jibu: Aanze na wale watu wa karibu na wengineo. Lakini muhimu zaidi ni pale anapoanza na wale ndugu wa karibu zaidi. Hata hivyo hilo halizuii kwamba pale anapopata fursa kuacha kuwalingania wale watu walio mbali naye. Akipata urahisi anatakiwa kuwalingania.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22965/هل-تجب-الدعوة-للاقرب-فالاقرب-او-عامة
- Imechapishwa: 23/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)