Swali 839: Je, inajuzu mmilikiwa akaolewa na muungwana?
Jibu: Haijuzu kumuozesha mwanamke huyo. Kwa sababu yeye mwanaume ni muungwana na mwanamke ni mmilikiwa. Isipokuwa tu kwa masharti mawili:
Ya kwanza: Akichelea juu ya nafsi yake.
Ya pili: Asimpate mwanamke muungwana. Zikitimia sharti mbili hizi ndio itafaa kumuozesha mmilikiwa aliyetajwa. Kukikosekana moja katika sharti mbili hizi basi kumuozesha mwanamke huyo ni batili na si halali kamwe.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 333
- Imechapishwa: 18/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket