Swali: Vipi hali ya ndoa endapo mtu atachumbia juu ya posa ya nduguye?
Jibu: Udhahiri ni kwamba ndoa inasihi lakini yule mposaji wa pili anapata dhambi. Kwa sababu makatazo ya kuposa hayahusiani na ile ndoa.
Swali: Hata kama hawakutangaza mahari?
Jibu: Mahari yanaweza kuja baadaye. Kama hakukutajwa mahari atapewa mahari ya wanawake mfano wake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23844/حكم-زواج-من-خطب-على-خطبة-اخيه
- Imechapishwa: 17/05/2024
Swali: Vipi hali ya ndoa endapo mtu atachumbia juu ya posa ya nduguye?
Jibu: Udhahiri ni kwamba ndoa inasihi lakini yule mposaji wa pili anapata dhambi. Kwa sababu makatazo ya kuposa hayahusiani na ile ndoa.
Swali: Hata kama hawakutangaza mahari?
Jibu: Mahari yanaweza kuja baadaye. Kama hakukutajwa mahari atapewa mahari ya wanawake mfano wake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23844/حكم-زواج-من-خطب-على-خطبة-اخيه
Imechapishwa: 17/05/2024
https://firqatunnajia.com/ndoa-baada-ya-kujua-kuwa-msichana-alikuwa-kishaposwa-na-mwengine/