Swali: Mayahudi wanamchukia Jibriyl (´alayhis-Salaam) kwa sababu wanaona kuwa yeye ndiye analeta vita?
Jibu: Wao wanadai hivi. Jibriyl (´alayhis-Salaam) huleta kheri. Huleta Wahy. Yeye ndiye amepewa kazi ya kuteremsha Wahy ambao uko na kheri na uhai.
Katika Shiy´ah wako wanaosema kuwa ´Aliy ndiye alitakiwa kupewa utume lakini hata hivyo Jibriyl akafanya khiyana na badala yake akaenda nao kwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa ajili hii ndio maana wanamchukia Jibriyl (´alayhis-Salaam).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)