Swali: Mimi naishi katika nchi hii iliyobarikiwa pamoja na mume wangu. Nataka kusafiri kwa ndege kwenda katika nchi yangu peke yangu kwa sababu baba yangu ni mgonjwa. Mume wangu hawezi kusafiri pamoja na mimi kutokana na shughuli zake. Je, inajuzu kwangu kusafiri peke yangu?
Jibu: Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Si halali kwa mwanamke anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Hili ni lenye kuenea na linahusu ndege, gari, kipando cha mnyama na kwa miguu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 26/08/2017
Swali: Mimi naishi katika nchi hii iliyobarikiwa pamoja na mume wangu. Nataka kusafiri kwa ndege kwenda katika nchi yangu peke yangu kwa sababu baba yangu ni mgonjwa. Mume wangu hawezi kusafiri pamoja na mimi kutokana na shughuli zake. Je, inajuzu kwangu kusafiri peke yangu?
Jibu: Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Si halali kwa mwanamke anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Hili ni lenye kuenea na linahusu ndege, gari, kipando cha mnyama na kwa miguu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 26/08/2017
https://firqatunnajia.com/kusafiri-kwa-ndege-kwa-baba-aliye-mgonjwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)