Swali: Ni kwa nini mashytwaan wa kibinaadamu ni khatari zaidi kuliko mashaytwaan wa kijini?
Jibu: Kwa sababu mashaytwaan wa kibinadaamu wanadai kuwa ni ndugu zako na majina yao vilevile huwa ni mazuri kama “Muhammad”, “´Aliy”, “Swaalih”. Isitoshe wanakaa pamoja na wewe, wanakutapa na wewe unawaamini. Hili ni tofauti na mashaytwaan wa kijini ambao huwaoni. Mashaytwaan wa kijini huwaoni tofauti na mashaytwaan wa kibinaadamu ambao unawaona, wanakuja kukaa pamoja na wewe, wanaingia nyumbani kwako na wanaapa kuwa ni wenye kukutakia kheri na madai mengine tele. Hawa wana khatari zaidi kuliko mashaytwaan wa kijini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (02) http://alfawzan.af.org.sa/node/2045
- Imechapishwa: 11/10/2016
Swali: Ni kwa nini mashytwaan wa kibinaadamu ni khatari zaidi kuliko mashaytwaan wa kijini?
Jibu: Kwa sababu mashaytwaan wa kibinadaamu wanadai kuwa ni ndugu zako na majina yao vilevile huwa ni mazuri kama “Muhammad”, “´Aliy”, “Swaalih”. Isitoshe wanakaa pamoja na wewe, wanakutapa na wewe unawaamini. Hili ni tofauti na mashaytwaan wa kijini ambao huwaoni. Mashaytwaan wa kijini huwaoni tofauti na mashaytwaan wa kibinaadamu ambao unawaona, wanakuja kukaa pamoja na wewe, wanaingia nyumbani kwako na wanaapa kuwa ni wenye kukutakia kheri na madai mengine tele. Hawa wana khatari zaidi kuliko mashaytwaan wa kijini.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (02) http://alfawzan.af.org.sa/node/2045
Imechapishwa: 11/10/2016
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-mashaytwaan-wa-kibinaadamu-ni-khatari-zaidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)