Mwandishi amemsifu Ibn Khuzaymah na kusema:
“… na mtu ambaye alikuwa anaitwa “Imamu wa maimamu katika wakati wake”.”
Amemtaja Ibn Khuzaymah kama “Imamu wa maimamu”. Kwa sababu wanachuoni wengi katika wakati wake walikuwa ni wanafunzi wake. Wote wamekuja kutoka kwake. Allaah amjaze kheri! Alikuwa ni miongoni mwa wale wakubwa waliokuwa wamehifadhi Sunnah na mmoja katika Fuqahaa´ wakubwa katika Sunnah na maimamu wake. Yeye ndiye mwenye kauli ambayo ni maarufu:
“Sunnah haigongani. Mwenye kuona kwamba Hadiyth mbili zinagongana azilete kwangu ili nimuoanishie nazo.”
Inatokana na ufahamu wake wa kina. Allaah amjaza kheri.
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Salaf wa Aswhaab-il-Hadiyth, uk. 349
- Imechapishwa: 23/04/2015
Mwandishi amemsifu Ibn Khuzaymah na kusema:
“… na mtu ambaye alikuwa anaitwa “Imamu wa maimamu katika wakati wake”.”
Amemtaja Ibn Khuzaymah kama “Imamu wa maimamu”. Kwa sababu wanachuoni wengi katika wakati wake walikuwa ni wanafunzi wake. Wote wamekuja kutoka kwake. Allaah amjaze kheri! Alikuwa ni miongoni mwa wale wakubwa waliokuwa wamehifadhi Sunnah na mmoja katika Fuqahaa´ wakubwa katika Sunnah na maimamu wake. Yeye ndiye mwenye kauli ambayo ni maarufu:
“Sunnah haigongani. Mwenye kuona kwamba Hadiyth mbili zinagongana azilete kwangu ili nimuoanishie nazo.”
Inatokana na ufahamu wake wa kina. Allaah amjaza kheri.
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Salaf wa Aswhaab-il-Hadiyth, uk. 349
Imechapishwa: 23/04/2015
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-ibn-khuyzamah-alikuwa-anaitwa-imamu-wa-maimamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)