Swali: Ni ipi nasaha yako kwa mtu aliyepewa mtihani wa kuwaangalia wanawake wasiokuwa Mahaarim zake?
Jibu: Atubu kwa Allaah:
قُل لِّلْمُؤْمِنِينَ يَغُضُّوا مِنْ أَبْصَارِهِمْ وَيَحْفَظُوا فُرُوجَهُمْ
“Waambie waumini wanaume wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao.” (24:30)
Hili ndilo ambalo Allaah amekuamrisha; usiwatazame wanawake na usiwakodolee macho wanawake. Hili ni haramu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13385
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Ni ipi nasaha yako kwa mtu aliyepewa mtihani wa kuwaangalia wanawake wasiokuwa Mahaarim zake?
Jibu: Atubu kwa Allaah:
قُل لِّلْمُؤْمِنِينَ يَغُضُّوا مِنْ أَبْصَارِهِمْ وَيَحْفَظُوا فُرُوجَهُمْ
“Waambie waumini wanaume wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao.” (24:30)
Hili ndilo ambalo Allaah amekuamrisha; usiwatazame wanawake na usiwakodolee macho wanawake. Hili ni haramu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13385
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/nasaha-kwa-waliopewa-mtihani-kuwaangalia-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)