Swali: Kukata hirizi ni sawa na kuachia mtumwa huru. Ni nani mwenye haki ya kukata hirizi? Ni mtu yeyote au ni mtawala peke yake?
Jibu: Ni mtawala peke yake. Mtu mwingine asiyekuwa mtawala asiyaondoshe mambo kwa mkono wake, kwa sababu hana mamlaka yoyote. Hili linasababisha shari kubwa zaidi. Awabainishie watu, kuwatahadharisha, kumfikishia mtawala na kujitahidi kuiondosha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%2025%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)