Swali: Kukata hirizi ni sawa na kuachia mtumwa huru. Ni nani mwenye haki ya kukata hirizi? Ni mtu yeyote au ni mtawala peke yake?
Jibu: Ni mtawala peke yake. Mtu mwingine asiyekuwa mtawala asiyaondoshe mambo kwa mkono wake, kwa sababu hana mamlaka yoyote. Hili linasababisha shari kubwa zaidi. Awabainishie watu, kuwatahadharisha, kumfikishia mtawala na kujitahidi kuiondosha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%2025%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Kukata hirizi ni sawa na kuachia mtumwa huru. Ni nani mwenye haki ya kukata hirizi? Ni mtu yeyote au ni mtawala peke yake?
Jibu: Ni mtawala peke yake. Mtu mwingine asiyekuwa mtawala asiyaondoshe mambo kwa mkono wake, kwa sababu hana mamlaka yoyote. Hili linasababisha shari kubwa zaidi. Awabainishie watu, kuwatahadharisha, kumfikishia mtawala na kujitahidi kuiondosha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%2025%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/nani-anastahiki-kukata-hirizi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket