Swali: Mkristo, myahudi au mshirikina akinambia:
“as-Salam ´alaykum.”
Nimjibu ikiwa ni kwa maneno au kwa njia ya barua?
Jibu: Mjibie tu:
“wa ´alaykum.”
Usisemi:
“wa ´alaykumus-Salaam.”
Imepokelewa katika Hadiyth kwamba wakikusalimieni basi nyinyi itikieni kwa kusema:
“wa ´alaykum.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
- Imechapishwa: 08/01/2021
Swali: Mkristo, myahudi au mshirikina akinambia:
“as-Salam ´alaykum.”
Nimjibu ikiwa ni kwa maneno au kwa njia ya barua?
Jibu: Mjibie tu:
“wa ´alaykum.”
Usisemi:
“wa ´alaykumus-Salaam.”
Imepokelewa katika Hadiyth kwamba wakikusalimieni basi nyinyi itikieni kwa kusema:
“wa ´alaykum.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
Imechapishwa: 08/01/2021
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kuitikia-salamu-ya-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)