Miongoni mwa [maovu yanayotokea katika maulidi] ni wanaume na wanawake kuchanganyika.
Isitoshe wengi wanaohudhuria katika maulidi hali zao zinakuwa mbaya. Wengi wao hawaswali. Hawahifadhi swalah. Wanafanya mambo ya maovu. Wanapupia Bid´ah na wanaacha mambo ya wajibu. Lililo la wajibu kwa muislamu ni kufuata na aache kuzusha. Lau ingelikuwa ni kheri wangelitutangulia nalo Maswahabah na Taabi´uun. Vilevile lau yangelikuwa ni kheri basi Allaah Angelituwekea nayo [katika Shari´ah]. Kwa haya tunapata kubainikiwa kuwa maulidi ni katika Bid´ah.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4738
- Imechapishwa: 17/11/2014
Miongoni mwa [maovu yanayotokea katika maulidi] ni wanaume na wanawake kuchanganyika.
Isitoshe wengi wanaohudhuria katika maulidi hali zao zinakuwa mbaya. Wengi wao hawaswali. Hawahifadhi swalah. Wanafanya mambo ya maovu. Wanapupia Bid´ah na wanaacha mambo ya wajibu. Lililo la wajibu kwa muislamu ni kufuata na aache kuzusha. Lau ingelikuwa ni kheri wangelitutangulia nalo Maswahabah na Taabi´uun. Vilevile lau yangelikuwa ni kheri basi Allaah Angelituwekea nayo [katika Shari´ah]. Kwa haya tunapata kubainikiwa kuwa maulidi ni katika Bid´ah.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4738
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndivyo-zinakuwa-hali-za-wengi-wanaohudhuria-kwenye-maulidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)