Swali: Ni ipi njia ya Kishari´ah ya kumnasihi baba na kumkataza maovu? Kumkataza kwa ushupavu kunapingana na kumtendea wema?
Jibu: Kuwa na njia ya upole. Kuwa na usulubu mzuri. Zungumza nae kwa hekima na maneno mazuri. Fanya nae upole. Huenda Allaah akamwongoza. Nyinyi mnasoma mazungumzo ya Ibraahiym na baba yake:
يَا أَبَتِ
“Ee baba yangu!” (19:42)
يَا أَبَتِ
“Ee baba yangu!” (19:43)
يَا أَبَتِ
“Ee baba yangu!” (19:44)
Alifanya hivo kwa kumfikiria. Kuwa mpole kwake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket