Ibn-ul-Waliyd amesema:
“Mashaykh walikuwa wakikerwa na maneno ya al-Hajjaaj na wakimkaripia kwa sababu alikuwa akichukua mambo yanayokwenda kinyume na Shari´ah na njia ya wenye kuipa kisogo dunia. Alikuwa akidai kumpenda Allaah, lakini akidhihirisha mambo yanayokwenda kinyume na madai yake.”
Hapana shaka yoyote kwamba kumfuata Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndio alama ya kumpenda Allaah, kwa sababu amesema (Ta´ala):
قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللَّـهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللَّـهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ ۗ وَاللَّـهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
“Sema: “Mkiwa mnampenda Allaah, basi nifuateni mimi. Hivyo atakupendeni Allaah na atakusameheni dhambi zenu na Allaah ni Mwingi wa kusamehe, Mwenye kurehemu.”[1]
[1] 03:31-32
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/316)
- Imechapishwa: 15/11/2020
Ibn-ul-Waliyd amesema:
“Mashaykh walikuwa wakikerwa na maneno ya al-Hajjaaj na wakimkaripia kwa sababu alikuwa akichukua mambo yanayokwenda kinyume na Shari´ah na njia ya wenye kuipa kisogo dunia. Alikuwa akidai kumpenda Allaah, lakini akidhihirisha mambo yanayokwenda kinyume na madai yake.”
Hapana shaka yoyote kwamba kumfuata Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndio alama ya kumpenda Allaah, kwa sababu amesema (Ta´ala):
قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللَّـهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللَّـهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ ۗ وَاللَّـهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
“Sema: “Mkiwa mnampenda Allaah, basi nifuateni mimi. Hivyo atakupendeni Allaah na atakusameheni dhambi zenu na Allaah ni Mwingi wa kusamehe, Mwenye kurehemu.”[1]
[1] 03:31-32
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/316)
Imechapishwa: 15/11/2020
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndivo-utathibitisha-mapenzi-yako-kwa-allaah/