Swali: Ninahisi kuwa na dhiki kubwa kifuani mwangu. Nachelea isije kuwa kijicho kimenipata. Nifanye nini?
Jibu: Ni wajibu kwako kumuomba Allaah ulinzi na kurudi Kwake kwa kumuombea du´aa, malinzi ya Kishari´ah na kumuomba Allaah afya. Jaribu kupuuzia wasiwasi ulionao. Kwa sababu inawezekana ikawa ni wasiwasi tu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
- Imechapishwa: 09/07/2018
Swali: Ninahisi kuwa na dhiki kubwa kifuani mwangu. Nachelea isije kuwa kijicho kimenipata. Nifanye nini?
Jibu: Ni wajibu kwako kumuomba Allaah ulinzi na kurudi Kwake kwa kumuombea du´aa, malinzi ya Kishari´ah na kumuomba Allaah afya. Jaribu kupuuzia wasiwasi ulionao. Kwa sababu inawezekana ikawa ni wasiwasi tu.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
Imechapishwa: 09/07/2018
https://firqatunnajia.com/nahisi-nimepatwa-na-kijicho-nifanye-nini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)