Swali 653: Je, inafaa kwa mwanamke kuweka nadhiri juu ya kilichomo tumboni mwake?
Jibu: Huenda hili halikuwepo katika Shari´ah ya walio kabla yetu na kwa kuwa linaweza kumdhuru mtoto. Hakuna kudhuru wala kudhuriana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 234
- Imechapishwa: 20/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 653: Je, inafaa kwa mwanamke kuweka nadhiri juu ya kilichomo tumboni mwake?
Jibu: Huenda hili halikuwepo katika Shari´ah ya walio kabla yetu na kwa kuwa linaweza kumdhuru mtoto. Hakuna kudhuru wala kudhuriana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 234
Imechapishwa: 20/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/nadhiri-ya-kilichomo-tumboni/