Swali: Ikiwa nadhiri haikuwekewa sharti inakuwa ni yenye kuruhusiwa?
Jibu: Ikiwa ni ya utiifu inamlazimu. Kwa mfano akijilazimisha kufanya kitu fulani kwa ajili ya Allaah ni lazima akifanye. Inahusiana na nadhiri ya utiifu:
”Yeyote atakayeweka nadhiri ya kumtii Allaah basi na amtii.”
Hata hivyo kwa mfano akisema ”Nitafanya – Allaah akitaka”, sio nadhiri. Mfano mwingine akasema ”Nikihudhuria nitafanya”, haimlazimu. Sio nadhiri. Mfano mwingine akasema ”Nitawatolea darsa” au ”Nikimpata fulani nitamnasihi”. Hizo ni ahadi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22892/حكم-النذر-غير-المشروط
- Imechapishwa: 28/05/2025
Swali: Ikiwa nadhiri haikuwekewa sharti inakuwa ni yenye kuruhusiwa?
Jibu: Ikiwa ni ya utiifu inamlazimu. Kwa mfano akijilazimisha kufanya kitu fulani kwa ajili ya Allaah ni lazima akifanye. Inahusiana na nadhiri ya utiifu:
”Yeyote atakayeweka nadhiri ya kumtii Allaah basi na amtii.”
Hata hivyo kwa mfano akisema ”Nitafanya – Allaah akitaka”, sio nadhiri. Mfano mwingine akasema ”Nikihudhuria nitafanya”, haimlazimu. Sio nadhiri. Mfano mwingine akasema ”Nitawatolea darsa” au ”Nikimpata fulani nitamnasihi”. Hizo ni ahadi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22892/حكم-النذر-غير-المشروط
Imechapishwa: 28/05/2025
https://firqatunnajia.com/nadhiri-ambayo-mtu-hakuweka-sharti/