Swali: Je, inafaa kumsusa mtenda maasi zaidi ya siku tatu?
Jibu: Maasi yana jambo lake. Mzushi anakatwa mpaka atubie ikiwa atazionyesha Bid´ah zake. Kutofaa ni pale inapohusiana mambo binafsi mtu na ndugu yake; kama vile mambo ya kidunia. Lakini akidhihirisha maasi anatakiwa kususwa mpaka atubie.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25229/حكم-هجر-صاحب-المعصية-اكثر-من-ثلاثة-ايام
- Imechapishwa: 19/02/2025
Swali: Je, inafaa kumsusa mtenda maasi zaidi ya siku tatu?
Jibu: Maasi yana jambo lake. Mzushi anakatwa mpaka atubie ikiwa atazionyesha Bid´ah zake. Kutofaa ni pale inapohusiana mambo binafsi mtu na ndugu yake; kama vile mambo ya kidunia. Lakini akidhihirisha maasi anatakiwa kususwa mpaka atubie.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25229/حكم-هجر-صاحب-المعصية-اكثر-من-ثلاثة-ايام
Imechapishwa: 19/02/2025
https://firqatunnajia.com/mzushi-na-anayedhihirisha-maasi-wanatakiwa-kususwa/