Swali: Serikali hunipa pesa ambayo inakuwa ni msaada wa watoto. Inajuzu kama mama kutumia pesa hizi katika kununua vitu ambavyo ni binafsi kwangu?
Jibu: Serikali inawapa watoto zake kama msaada? Awawekee nayo na wala asichukue pesa hata moja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Serikali hunipa pesa ambayo inakuwa ni msaada wa watoto. Inajuzu kama mama kutumia pesa hizi katika kununua vitu ambavyo ni binafsi kwangu?
Jibu: Serikali inawapa watoto zake kama msaada? Awawekee nayo na wala asichukue pesa hata moja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/mzazi-kutumia-pesa-za-mwanawe-kutoka-serikali/