Swali: Je, inafaa kwa mke kutoka nyumbani pasi na idhini ya mume?

Jibu: Haijuzu kwake kutoka nyumbani isipokuwa kwa idhini yake, kwa sababu hiyo ni haki yake juu yake:

الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ

“Wanaume ni wasimamizi juu ya wanawake.”[1]

Kumwomba kwake idhini hakumkoseshi chochote. Amwombe idhini.

[1] 04:34

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
  • Imechapishwa: 03/07/2024