Swali: Je, inafaa kwa mke kutoka nyumbani pasi na idhini ya mume?
Jibu: Haijuzu kwake kutoka nyumbani isipokuwa kwa idhini yake, kwa sababu hiyo ni haki yake juu yake:
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ
“Wanaume ni wasimamizi juu ya wanawake.”[1]
Kumwomba kwake idhini hakumkoseshi chochote. Amwombe idhini.
[1] 04:34
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 03/07/2024
Swali: Je, inafaa kwa mke kutoka nyumbani pasi na idhini ya mume?
Jibu: Haijuzu kwake kutoka nyumbani isipokuwa kwa idhini yake, kwa sababu hiyo ni haki yake juu yake:
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ
“Wanaume ni wasimamizi juu ya wanawake.”[1]
Kumwomba kwake idhini hakumkoseshi chochote. Amwombe idhini.
[1] 04:34
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 03/07/2024
https://firqatunnajia.com/mwombe-idhini-mumeo-ya-kutoka/