Mwenye kusema kuwa Hadiyth zenye kusema kuwa ´Abdur-Rahmaan bin ´Awf (Radhiya Allaahu ´anh) ataingia Pepo hali ya kutambaa na kwamba yeye ndiye Swahabah wa mwisho ambaye atayeingia, kwamba Abu Bakr alisema kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimweleza:
“Nilimuona Mola wangu kwa macho yangu.”
na kwamba alimwambia ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhum):
“Nilimuona Mola wangu kwa moyo wangu.”
kuwa ni Swahiyh, ni mzushi na mwongo kwa mujibu wa wanazuoni wote. Mtu kama huyo anastahiki kutiwa adabu vikali.
- Muhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtaswar-ul-Fataawaa al-Miswriyyah (2/420)
- Taaliki: Imaam Badr-ud-Diyn Muhammad bin ´Aliy al-Hanbaliy al-Ba´liy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)