Swali: Vipi kuhusu waliosema kuwa ni lazima kwa mwenye janaba kutawadha kabla ya kulala?
Jibu: Maneno mazuri, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia ´Umar:
”Tawadha kisha ndio ulale.”
Alimwamrisha kutawadha. Udhahiri ni uwajibu.
Swali: Je, anapata dhambi akilala bila ya kutawadha?
Jibu: Kunakhofiwa juu yake.
Swali: Vipi itafasiriwa Hadiyth isemayo:
”Alikuwa akipata janaba kisha analala na wala hagusi maji.”?
Jibu: Hadiyth hii ina kasoro. Ikiwa imesihi basi kinachokusudiwa kwa `maji` ni josho la janaba. Hata hivyo ni Hadiyth yenye kasoro na dhaifu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23970/حكم-الوضوء-للجنب-قبل-النوم
- Imechapishwa: 08/08/2024
Swali: Vipi kuhusu waliosema kuwa ni lazima kwa mwenye janaba kutawadha kabla ya kulala?
Jibu: Maneno mazuri, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia ´Umar:
”Tawadha kisha ndio ulale.”
Alimwamrisha kutawadha. Udhahiri ni uwajibu.
Swali: Je, anapata dhambi akilala bila ya kutawadha?
Jibu: Kunakhofiwa juu yake.
Swali: Vipi itafasiriwa Hadiyth isemayo:
”Alikuwa akipata janaba kisha analala na wala hagusi maji.”?
Jibu: Hadiyth hii ina kasoro. Ikiwa imesihi basi kinachokusudiwa kwa `maji` ni josho la janaba. Hata hivyo ni Hadiyth yenye kasoro na dhaifu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23970/حكم-الوضوء-للجنب-قبل-النوم
Imechapishwa: 08/08/2024
https://firqatunnajia.com/mwenye-janaba-kutawadha-kabla-ya-kulala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)