Swali: Je, inafaa kwa mwanamke mwenye damu ya ugonjwa kukusanya swalah?
Jibu: Inafaa kwake kukusanya akihitajia kufanya hivo. Inafaa kwake kukusanya kama alivyoidhinishwa mwanamke mjamzito.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23542/هل-يجوز-للمستحاضة-جمع-الصلاة
- Imechapishwa: 09/02/2024
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke mwenye damu ya ugonjwa kukusanya swalah?
Jibu: Inafaa kwake kukusanya akihitajia kufanya hivo. Inafaa kwake kukusanya kama alivyoidhinishwa mwanamke mjamzito.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23542/هل-يجوز-للمستحاضة-جمع-الصلاة
Imechapishwa: 09/02/2024
https://firqatunnajia.com/mwenye-istihaadhah-kukusanya-swalah/