Swali: Mwenye damu ya ugonjwa akiweza kutawadha katika kila swalah, inajuzu kwake kujumuisha swalah katika hali hii?
Jibu: Nadhani anachokusudia ni kuoga [katika kila swalah]. Kutawadha? Kutawadha ni wajibu kwa kila swalah. Lakini kuhusu kuoga, hili ndilo linatakiwa kuangaliwa. Akiweza kuoga kila kunapoingia kila swalah, ni sawa hakuna neno.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
Swali: Mwenye damu ya ugonjwa akiweza kutawadha katika kila swalah, inajuzu kwake kujumuisha swalah katika hali hii?
Jibu: Nadhani anachokusudia ni kuoga [katika kila swalah]. Kutawadha? Kutawadha ni wajibu kwa kila swalah. Lakini kuhusu kuoga, hili ndilo linatakiwa kuangaliwa. Akiweza kuoga kila kunapoingia kila swalah, ni sawa hakuna neno.
Tarjama: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/mwenye-istihaadhah-anataka-kuoga-kunapoingia-kila-swalah/