Swali: Je, inafaa kwa mwanamke mwenye hedhi kumuosha maiti?
Jibu: Hapana vibaya ikihitajika. Jambo hilo halina neno. Ameshakufa. Anamuosha maiti au mume wake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23532/هل-يجوز-للمراة-الحاىض-تغسيل-الميت
- Imechapishwa: 09/02/2024
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke mwenye hedhi kumuosha maiti?
Jibu: Hapana vibaya ikihitajika. Jambo hilo halina neno. Ameshakufa. Anamuosha maiti au mume wake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23532/هل-يجوز-للمراة-الحاىض-تغسيل-الميت
Imechapishwa: 09/02/2024
https://firqatunnajia.com/mwenye-hedhi-kumuosha-maiti-ii/