Swali: Nikiwa natawadha kisha mwanzoni mwa kutawadha tu nikatokwa na upepo. Je, nirudi kutawadha upya au hapana?
Jibu: Ndio, rudi kutawadha tena. Kwa sababu miongoni mwa sharti za wudhuu´ ni kukata yale mambo yanayowajibisha kutawadha. Pindi ulipotokwa na upepo wudhuu´ wako ukabatilika
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 15/12/2018
Swali: Nikiwa natawadha kisha mwanzoni mwa kutawadha tu nikatokwa na upepo. Je, nirudi kutawadha upya au hapana?
Jibu: Ndio, rudi kutawadha tena. Kwa sababu miongoni mwa sharti za wudhuu´ ni kukata yale mambo yanayowajibisha kutawadha. Pindi ulipotokwa na upepo wudhuu´ wako ukabatilika
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
Imechapishwa: 15/12/2018
https://firqatunnajia.com/mwanzoni-mwa-wudhuu-ametokwa-na-upepo/