Swali: Wakati wa adhaana ukipita muadhini anatakiwa kuadhini au atosheke tu kwa kukimu swalah?
Jibu: Akiwa ndani ya mji basi akimu swalah tu ili asiwashawishi wengine. Ama akiwa nje ya mji atoe adhaana. Kwa sababu ndani ya mji misiki mingine itakuwa imekwishaadhini.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 15/12/2018
Swali: Wakati wa adhaana ukipita muadhini anatakiwa kuadhini au atosheke tu kwa kukimu swalah?
Jibu: Akiwa ndani ya mji basi akimu swalah tu ili asiwashawishi wengine. Ama akiwa nje ya mji atoe adhaana. Kwa sababu ndani ya mji misiki mingine itakuwa imekwishaadhini.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
Imechapishwa: 15/12/2018
https://firqatunnajia.com/adhaana-baada-ya-kupita-wakati-wake/