Swali: Mwanaume kutumia zafarani.

Jibu: Mwanaume hajiweki zafarani. Zafarani ni kwa wanawake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemkataza mwanaume kujitia zafarani.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21938/حكم-استعمال-الزعفران-للرجال
  • Imechapishwa: 12/01/2023