Swali 551: Je, haisemwi kuwa mume anayekubali mwanamke kujivua hastahili kulipwa chochote na mkewe ikiwa kosa ni kutoka kwake?
Jibu: Hapana, kwani ingawa Thaabit (Radhiya Allaahu ´anh) alimcharaza mkewe na kuvunja mkono wake, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuamuru mwanamke amrudishie bustani lake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 189
- Imechapishwa: 11/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)