Swali: Ni ipi hukumu kwa mtu mwenye kulainisha ndevu zake pasi na kudumisha hilo au kuziweka mafuta…
Jibu: Haifai kuzitilia umuhimu mkubwa kuzihudumia kwa mafuta. Ni jambo linalainisha ndevu na ni mambo ya kike. Asipitilize katika jambo hili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%2025%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu kwa mtu mwenye kulainisha ndevu zake pasi na kudumisha hilo au kuziweka mafuta…
Jibu: Haifai kuzitilia umuhimu mkubwa kuzihudumia kwa mafuta. Ni jambo linalainisha ndevu na ni mambo ya kike. Asipitilize katika jambo hili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%2025%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kulainisha-ndevu-zake-kwa-kuzitia-mafuta/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket