Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke mwenye hedhi kuswali kwa sababu anaona aibu?
Jibu: Hakutawadha?
Swali: Anasimama ili aswali kwa kuwa anaona aibu ikija itajulikana ya kwamba yuko na hedhi.
Jibu: Swalah ni haramu kwake. Hatakiwi kuswali ikiwa yuko na hedhi au ametwaharika na hedhi yake kabla ya kuoga.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (40 B)
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke mwenye hedhi kuswali kwa sababu anaona aibu?
Jibu: Hakutawadha?
Swali: Anasimama ili aswali kwa kuwa anaona aibu ikija itajulikana ya kwamba yuko na hedhi.
Jibu: Swalah ni haramu kwake. Hatakiwi kuswali ikiwa yuko na hedhi au ametwaharika na hedhi yake kabla ya kuoga.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (40 B)
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-wa-hedhi-kuswali-kwa-ajili-ya-haya/