Swali: Je, inafaa kwake [mwanamke mwenye hedhi na nifasi] kuhudhuria vikao vya elimu na darsa msikitini?
Jibu: Hapana neno – Allaah akitaka. Hadiyth isemayo:
“Mimi siuhalalishi msikiti kwa mwenye hedhi na mwenye janaba.”
ni dhaifu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemwambia ´Aaishah:
“Hedhi yako haiko mikononi mwako.”
Amesema pia:
”Fanya kila kitu isipokuwa kutufu kwenye Ka´bah.”
Ni sawa ikiwa atakaa msikitini na kusikiliza darsa.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 80
- Imechapishwa: 26/08/2020
Swali: Je, inafaa kwake [mwanamke mwenye hedhi na nifasi] kuhudhuria vikao vya elimu na darsa msikitini?
Jibu: Hapana neno – Allaah akitaka. Hadiyth isemayo:
“Mimi siuhalalishi msikiti kwa mwenye hedhi na mwenye janaba.”
ni dhaifu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemwambia ´Aaishah:
“Hedhi yako haiko mikononi mwako.”
Amesema pia:
”Fanya kila kitu isipokuwa kutufu kwenye Ka´bah.”
Ni sawa ikiwa atakaa msikitini na kusikiliza darsa.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 80
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-mwenye-hedhi-kukaa-msikitini-na-kusikiliza-darsa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)