Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kwenda saluni kujipamba pamoja na kujua kuwa mpambaji ni mwanamke? 49
Jibu: Hapana. Ajipambe nyumbani kwake. Ajipambe nyumbani kwake na asiende kwenye manyumba ya watu au wambea. Asiwaendee. Ajipambe nyumbani kwake. Akiwa yuko na mwanamke mwenye kumpamba nyumbani kwake ni jambo zuri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kwenda saluni kujipamba pamoja na kujua kuwa mpambaji ni mwanamke? 49
Jibu: Hapana. Ajipambe nyumbani kwake. Ajipambe nyumbani kwake na asiende kwenye manyumba ya watu au wambea. Asiwaendee. Ajipambe nyumbani kwake. Akiwa yuko na mwanamke mwenye kumpamba nyumbani kwake ni jambo zuri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kwenda-saluni-kupambwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)