Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kuweka ´Abaa´ah juu ya mabega wakati wa swalah?
Jibu: Ndio, hakuna neno. Kufanya hivi kunaweza kuwa kunamlinda na ni kwepesi zaidi kwake kuliko ibaki kila pale ´Abaa´ah inamtoka kichwani mwake anairudisha tena. Huku sio kujifananisha na wanaume. Muonekana wa mwanamke katika hali hii haifanani na muonekana wa wanaume.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (35) http://binothaimeen.net/content/787
- Imechapishwa: 20/01/2018
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kuweka ´Abaa´ah juu ya mabega wakati wa swalah?
Jibu: Ndio, hakuna neno. Kufanya hivi kunaweza kuwa kunamlinda na ni kwepesi zaidi kwake kuliko ibaki kila pale ´Abaa´ah inamtoka kichwani mwake anairudisha tena. Huku sio kujifananisha na wanaume. Muonekana wa mwanamke katika hali hii haifanani na muonekana wa wanaume.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (35) http://binothaimeen.net/content/787
Imechapishwa: 20/01/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuweka-abaaah-juu-ya-mabega-wakati-kuswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)