Swali: Je, mwanamke anaweza kuvaa suruwali wakati anapokwenda dukani ikiwa amejifunika? Vipi ikiwa suruwali ni pana?
Jibu: Haijuzu kwa mwanamke wa Kiislamu kuvaa suruwali kwa sababu ina maana ni kujifananisha na wanawake makafiri. Waislamu hawatakiwi kujifananisha na makafiri. Hali kadhalika anaonesha maumbile yake. Suruwali yenyewe inamtia mitihanini yeye mwenyewe na wanaume zaidi.
- Mhusika: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (17/116)
- Imechapishwa: 07/09/2020
Swali: Je, mwanamke anaweza kuvaa suruwali wakati anapokwenda dukani ikiwa amejifunika? Vipi ikiwa suruwali ni pana?
Jibu: Haijuzu kwa mwanamke wa Kiislamu kuvaa suruwali kwa sababu ina maana ni kujifananisha na wanawake makafiri. Waislamu hawatakiwi kujifananisha na makafiri. Hali kadhalika anaonesha maumbile yake. Suruwali yenyewe inamtia mitihanini yeye mwenyewe na wanaume zaidi.
Mhusika: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (17/116)
Imechapishwa: 07/09/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuvaa-suruwali-ni-kujifananisha-na-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)