Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kuangalia wachezaji wa mpira na wacheza mieleka kwenye runinga pamoja na kuzingatia kwamba wanavaa mpaka kwenye nusu mapaja?
Jibu: Haitakikani kwake kufanya hivo. Mwanamke anatakiwa kujishughulisha na yenye kumpa faida na awe na heshima na kuitilia umuhimu yale yenye kumpa faida. Vivyo hivyo mwanamme muislamu anatakiwa asipoteze wakati wake na atumie wakati wake kwa yale yanayompa faida katika dini na dunia yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 10/10/2021
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kuangalia wachezaji wa mpira na wacheza mieleka kwenye runinga pamoja na kuzingatia kwamba wanavaa mpaka kwenye nusu mapaja?
Jibu: Haitakikani kwake kufanya hivo. Mwanamke anatakiwa kujishughulisha na yenye kumpa faida na awe na heshima na kuitilia umuhimu yale yenye kumpa faida. Vivyo hivyo mwanamme muislamu anatakiwa asipoteze wakati wake na atumie wakati wake kwa yale yanayompa faida katika dini na dunia yake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 10/10/2021
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kutazama-wachezaji-wa-mpira-wanamme/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)