Swali: Ni ipi hukumu mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume ajinabi?
Jibu: Mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume wasiokuwa Mahram zake ni haramu. Tumeyabainisha hayo katika kijitabu kidogo kwa jina “al-Hijaab”[1]. Ndani yake tumebainisha dalili kutoka katika Qur-aan na Sunnah. Endapo mtu atakisoma basi atabainikiwa na haki.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/category/makala/wanawake/mavazi-na-vipodozi/jumla-kuhusiana-na-vazi-la-mwanamke/al-hijaab/
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (66) http://binothaimeen.net/content/1487
- Imechapishwa: 25/01/2020
Swali: Ni ipi hukumu mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume ajinabi?
Jibu: Mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume wasiokuwa Mahram zake ni haramu. Tumeyabainisha hayo katika kijitabu kidogo kwa jina “al-Hijaab”[1]. Ndani yake tumebainisha dalili kutoka katika Qur-aan na Sunnah. Endapo mtu atakisoma basi atabainikiwa na haki.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/category/makala/wanawake/mavazi-na-vipodozi/jumla-kuhusiana-na-vazi-la-mwanamke/al-hijaab/
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (66) http://binothaimeen.net/content/1487
Imechapishwa: 25/01/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuonyesha-uso-wake-mbele-ya-wanaume-wenye-kuweza-kumuoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)