Swali: Mimi nina televisheni nyumbani na hutazama na mke wangu mihadhara ya wanachuoni kila siku. Ni ipi hukumu ya kuwatazama wanachuoni kwa nisba ya mke wangu?
Jibu: Hata kama ingelikuwa sio kwa njia ya televisheni. Kuwatazama wanaume kwa matamanio haijuzu, hata kama sio kwa njia ya televisheni wakiwa barabarani asiwatazame kwa matamanio. Ama kuwatazama pasi na matamanio na kwa kwa haja, hakuna neno kwa hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)