Swali: Ni yapi maoni yako kwa mwenye kusema maneno haya “Nimefanya niwezalo na yaliyobaki namwachia Allaah”?
Jibu: Ndio. Maana yake ni kwamba umefanya sababu na Tawfiyq iko Mikononi mwa Allaah (´Azza wa Jalla). Maana yake ni sahihi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni yapi maoni yako kwa mwenye kusema maneno haya “Nimefanya niwezalo na yaliyobaki namwachia Allaah”?
Jibu: Ndio. Maana yake ni kwamba umefanya sababu na Tawfiyq iko Mikononi mwa Allaah (´Azza wa Jalla). Maana yake ni sahihi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/maana-ya-maneno-haya-ni-sahihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)